Mkutano mkuu wa uchaguzi wa vijana dayosis ya Zanzibar uliofanyika tarehe 25/01/2020 katika ukumbi wa kanisa kuu Mkunazini.
Waliochaguliwa kuongoza Tayo ni:
VIONGOZI
Benjamin ( Mwenyekiti )Emmanuel Asama ( Msaidizi Mwenyekiti )Castro Ezekiel ( Katibu )Lameck Joachim ( Mshika Fedha )
WAJUMBE
Wninniefrida Rukwage (Pemba)Betina Asheri (Mohonda, Unguja)Ombeni Simon (Machui Unguja)Freddy Amos Chendende (Mkunazini, Unguja)
Mkutano mkuu wa uchaguzi wa vijana dayosis ya Zanzibar ulio...
More