Mkutano Mkuu Wa Uchaguzi Wa Vijana

Mkutano mkuu wa uchaguzi wa vijana dayosis ya Zanzibar uliofanyika tarehe 25/01/2020 katika ukumbi wa kanisa kuu Mkunazini.

Waliochaguliwa kuongoza Tayo ni:

VIONGOZI

  • Benjamin ( Mwenyekiti )
  • Emmanuel Asama ( Msaidizi Mwenyekiti )
  • Castro Ezekiel ( Katibu )
  • Lameck Joachim ( Mshika Fedha )

WAJUMBE

  • Wninniefrida Rukwage (Pemba)
  • Betina Asheri (Mohonda, Unguja)
  • Ombeni Simon (Machui Unguja)
  • Freddy Amos Chendende (Mkunazini, Unguja)
Mkutano mkuu wa uchaguzi wa vijana dayosis ya
Zanzibar uliofanyika tarehe 25/01/2020